Saturday 6 July 2013
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE ASIANA YAPATA AJALI WAKATI WA KUTUA HUKO SAN FRANCISCO U.S.A
Ndege ya shirika la ndege la Asiana imepata ajali mbaya wakati wa kutua katika uwanja wa San Francisco ikitokea Seoul,Korea ya kusini. Katika ajali hiyo watu wawili wamepoteza maisha.Kwa habari zaidi endelea kufuatilia humu.
CHANZO: CNN
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
No comments:
Post a Comment