Rais wa Marekani Barack Obama ameshindwa kujizuia kuserebuka nyimbo zenye mahadhi ya Kiafrika pale alipokuwa akingalia ngoma mbalimbali zilizoandaliwa katika mapokezi yake nchini Tanzania,alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar Es Salaam.
CHANZO: ITV
Obama akikagua gwaride la wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi Tanzania
Baadhi ya wananchi walifanya kila wawezalo ili wamwone rais Barack Obama
No comments:
Post a Comment