Monday 15 July 2013

P-FUNK MAJANI NA KAJALA WAMPONGEZA BINTI YAO KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA

Wazazi hao wamemtembelea mtoto wao shuleni na kupiga naye picha.

Leo ni siku ya kuzaliwa ya mtoto wa kwanza wa producer Paul Matthysse aka P-Funk Majani aliyezaa na  Kajala Masanja.
Kupitia Instagram, Kajala ameshare picha kadhaa zinamuonesha akiwa na Majani, binti yao Paula na Wema Sepetu.
Kajala amemwandikia ujumbe mtamu binti yake akisema: 
HAPPY BIRTHDAY my darling, my heartbeat, da reasonto whythez always a smile abt…ur my right hand, my sweetheart, my number one, my beautiful daughter…..mummy loves u sooo much sweet angel….and I pray to God to keep u for a long long tym… u will live to blow a hundred candles my precious.

CHANZO: Vijimambo & bestizzo


Picha zaidi ingia endelea kusoma habari hii


P - Funk na Kajala leo wameungana kwa pamoja kusherekea siku ya kuzaliwa ya Binti yao Paula,  mapema asubuhi ya leo mida ya saa nne shuleni kwao Paula dizaini kama palikuwa hapatoshi hivi, Nijambo zuri sana kuona wawili hao waliowahi kuwa pamoja wakiungana tena kwa pamoja na kufurahia siku nzuri kama hii... lakini baada ya Sherehe Aaah! kila mtu alishika 50 zake.... LOL!













No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...