Monday 1 July 2013

RAIS KIKWETE AMWANDALIA RAIS OBAMA CHAKULA CHA USKIU

U.S. President Barack Obama (L) and Tanzanian President Jakaya Kikwete participate in an official dinner at the State House in Dar es Salaam, Tanzania, July 1, 2013. REUTERS/Jason Reed Rais Obama akiwa katika chakula cha usiku alichoandaliwa na mwenyeji wake rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.


President Barack Obama and Tanzanian President Jakaya Kikwete toast during an official dinner at the State House in Dar Es Salaam, Tanzania, Monday, July 1, 2013. The president is traveling in Tanzania on the final leg of his three-country tour in Africa. (AP Photo/Evan Vucci)
Rais Barack Obama akigongesha glasi na mwenyeji wake rais Jakaya Kikwete wakati wa chakula cha usiku,jumatatu julai mosi.



Not bothered by superstitions: The first families gave toasts with water
















  Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle wakiangalia ngoma za utamaduni pamoja na bendi ya polisi wakati wa dhifa ya kitaifa  aliyoandaliwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho kikwete. Kushoto ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Serikali ya Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein. PICHA NA IKULU
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Rais Barak Obama wa Marekani kwa Mawaziri wakuu wastaafu pamoja na viongozi wengine wakati wa dhifa ya kitaifa aliyomwandalia mgeni huyo Jumatatu usiku Ikulu jijini Dar es salaam.
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wageni wake Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle wakati wa dhifa ya kitaifa aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Usiku. Kushoto ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein na Kulia ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda


No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...