Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar zimeleta adha kwa wakazi wa jiji. Wengi wamejikuta wakishindwa kutoka katika majumba yao kutokana na kuzingirwa na maji. Magari mengi yamekuwa yakipita kwa shida kutokana na kujaa kwa maji kwa kiasi kikubwa.Pita pita ya kamera ya blog hii ilibahatika kupata baadhi ya taswira ya jinsi hali ilivyo.WITO: TUZINGATIE MAELEKEZO KUTOKA MAMLAKA YA HALI YA HEWA ILI KUEPUKA MADHARA!
Mtaa wa Uhuru
Mtaa wa Uhuru
TANESCO Mikocheni
Mikocheni, maeneo ya Arcade
Picha zote na James Nindi,Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment