Sunday 31 May 2015
PICHA YANGU LEO
Hii ndiyo alama ya taifa letu.Twiga!
Huyu ni mnyama mpole na mwenye mwendo wa madaha.Akitembea hutatamani kuacha kumwangalia.Ama kweli Tanzania tuna utajiri uliotukuka.
Saturday 30 May 2015
ISIDINGO THE NEED,TAMTHILIYA YENYE UTAMU WAKE
Kwa wale mnaoangalia tamthiliya ya Isidingo the need kama mimi, mna nini la kusema juu ya ndoa ya Katlego na Lincoln Sibeko.Je,ndoa hii itadumu?
Tamthiliya imenoga kwasasa kwani nina shauku kubwa ya kujua
nini kitatokea next.Baker Haines atafanya nini baada ya kupata taarifa za ndoa
ya Katlego? Maswali na shauku ni kubwa.Tuendelee kuangalia tuone nini
kitatokea.
Lincoln Sibeko & Katlego
Friday 29 May 2015
Thursday 28 May 2015
THE KITCHEN: JINSI YA KU-DESIGN JIKO NA UPANGILIAJI WAKE
Mandhari nzuri ya nyumba
huchangiwa na vitu vingi ikiwamo na mpangilio mzuri wa jiko. Jiko hutakiwa
kujengwa kukidhi mahitaji yote ya jikoni. Kila kitu hutakiwa kuwa mahali
pake,kuanzia vyombo hadi mashine ndogo za jikoni.Unaweza ukawa umejengewa jiko
vizuri sana ila wewe mwenyewe usiwe na uwezo wa kupanga vitu vyako vizuri
ukaweka sufuria hapa,sahani pale,blender hapa,matunda yametapakaa tu kwenye meza za jikoni, vyombo vichafu vimejaa tele katika sinki, ili mradi mtu akiingia anaona
kama vile yupo stoo badala ya jikoni.Jikoni kunatakiwa kuwe safi muda wowote na
ikibidi mtu akiingia asijue kabisa mmekula nini!Maana kuna majiko ukiingia
unajua kabisa hawa leo wamekula samaki n.k! Unaweza usisikie harufu bali kukawa na
mabaki labda katika sinki au vyote kwa pamoja ( yaani mabaki na harufu).
Angalia picha zifuatazo utaona
jinsi jiko linavyotakiwa kuonekana muda wote.Kazi kwako!
GUMZO MTANDAONI: WAKILI WA KENYA KUTOA POSA KWA MALIA OBAMA
Taarifa kuwa wakili mmoja
wa kenya amesema yuko tayari kutoa mahari kwa mtoto wa raisi wa
Marekani,Barrack Obama zimeenea duniani kote Felix Kiprono amesema yuko tayari
kutoa ng'ombe 50,kondoo 70 na mbuzi 30 kwa ajili ya mahari ya mtoto wa
Obama,Malia Obama.Hivyo anajiandaa kuzungumzia swala hilo na baba wa mtoto huyo
atakapo tembelea Kenya ,mwezi Julai.
CHANZO: BBC
Wednesday 27 May 2015
Tuesday 26 May 2015
Monday 25 May 2015
Sunday 24 May 2015
HOME DECOR: SHOWER CURTAINS
Shower au bathroom curtains ni vyema ziendane na rangi
zilizomo bafuni kwako kuleta mvuto.Mimi binafsi huzingatia hili.
Ukiangalia picha nilizokuwekea utaelewa zaidi hivyo chukua
muda wako kuangalia ili ulete mabadiliko makubwa bafuni kwako.
HOME DECOR: DESIGNS ZA MAPAZIA NA UWEKAJI WAKE
Ili
pazia ipendeze katika dirisha ni lazima iwe na ukubwa wa kutosha.Mfano, kama
dirisha lako lina upana wa meta 1 weka vipande viwili vya pazia kila kimoja
kiwe na ukubwa wa 11/2m. Hii itafanya pazia liwe na mikunjo ambayo
ndiyo huleta mwonekano unaovutia.
Vilevile
kwa pazia za sebuleni na chumba cha kulala zinapendeza zikiwa
ndefu.Zikining´inia kwa kweli hazileti mvuto kabisa.
Nitawaletea
vidokezo vingine kuhusu mapazia katika makala zijazo.
Pazia katika sebule inatakiwa kuwa na urefu huu
Saturday 23 May 2015
YALIYOJIRI KATIKA TUZO ZA WATU 2015
Tuzo za watu zilifanyika usiku wa jana tarehe 21 mei 2015 katika hoteli
ya Hyatt Regency. Angalia baadhi ya picha za washindi na za tukio hilo hapa:
Wema Sepetu |
Friday 22 May 2015
CONTAINER GARDENING: OTESHA MAUA YAKO KIUBUNIFU NAMNA HII
Angalia hapa kujifunza ubunifu ambao hata wewe unaweza
kuutumia na kubadilisha kabisa mazingira ya nyumba yako. Hakuna aliyezaliwa
anajua kila kitu.Kila kitu tunajifunza, na kila siku tupo darasani!
MWIGIZAJI WA BONGO MOVIE AUNTY EZEKIEL AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE
Kwenye akaunti yake ya instagram aunty ameandika hivi:
Amin ktk Mungu ndio Mwisho wa Matatizo yote yaliyotuzunguka
Hakuna mganga wala Mchawi pasipo Mungu.Ahsante Mungu wang kwa kunikabidhi
zawadi yang Asubuhi jana tar 21-05-2015 Muache yy atende kwani ndio nguzo yetu
sote Nasema Ahsante tena Ahsante kwa zawadi hii kubwa ktk Maisha kwani ilikuwa
ni kipindi kigumu chenye majaribu ya kila aina kupitia binaadamu wajizaniao wao
ni miungu watu Bac endelea kunyoosha mkono wako ktk paji la kiumbe wako ukiwa
kama kinga nami niwe kivuli tuu juu yake Amen Whn Jesus Say Yes Ni body can Say
wht!!!!!!!Wlcm Baby Cookie wlcm 2 da world KIBOKO.
HONGERA SANA AUNTY KWA KUPATA BABY GIRL.
AFYA: FAIDA YA MAFUTA YA NAZI
- Fatty acids zilizomo katika mafuta ya nazi husaidia kuimarisha uwezo wa ubongo kwa wagonjwa wa Alzheimer.
- Mafuta ya nazi yanasaidia kuondoa mafuta mwilini hususan mafuta hatari yaliyo tumboni.Hii huweza kufanyika kwa kuweka mafuta ya nazi katika chakula.
- Watu wanaokula sana nazi ndiyo watu wenye afya bora duniani.
THE BEDROOM: AINA ZA LEATHER BEDS NA MPANGILIO WAKE
Vitanda vya leather au ngozi navyo vina mvuto wake,muhimu upate design na ukubwa unaolingana na chumba chako. Angalia picha zifuatazo kuona designs mbalimbali:
Thursday 21 May 2015
THIS IS HOW LUPITA NYONGO MADE THE HEADLINES AGAIN
Lupita Nyongo made an eye-catching appearance at the opening of the Cannes film
festival – in a spectacular green dress.She wows in a green this time!
Lupita rocked in a jade green pleated Gucci gown with floral
embellishments and a plunging neckline.
Nyong'o looked as elegant as ever, pairing her gown with a
gold headband and Chopard drop earrings and rings.
For more photos click read more
USHAURI WA KUFUATA KABLA YA KUNUNUA MANUKATO(PERFUME)
Manukato huwa hayakupi harufu
halisi muda unapoyapaka.Huleta harufu halisi kulingana na ngozi yako baada ya
muda. Unaponunua manukato zingatia muda wa kutumia mfano manukato yenye harufu
kali yatumike jioni nayale yenye harufu isiyo kali(citrus) yatumike mchana.
ZINGATIA HAYA UNAPOTAKA KUNUNUA MANUKATO
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...