Monday 25 April 2016
ROCKING WITH JEANS
Jeans ni vazi lisilomtupa mtu.Ni vazi ambalo lipo katika mitindo mingi tofauti.Tuangalie picha zifuatazo.
Tuesday 19 April 2016
Friday 15 April 2016
Tuesday 12 April 2016
BEAUTIFUL LOOKS!WHICH ONE DO YOU LIKE?
Wanawake pesa zetu zinaishia kwenye urembo!Ndiyo maana kuna usemi kuwa "HAKUNA MWANAMKE MBAYA DUNIANI" kwani urembo unapatikana dukani! Mtu hujiremba kwa kutumia urembo mbalimbali,zikiwemo rangi za mdomo (lipstick), wanja, wifi,kope za bandia n.k.Vyote hivi hupatikana kwa bei ya chini na kwa bei ya juu vilevile.Mtumiaji hununua kulingana na kipato chake.
Angalia picha zifuatazo kuuona urembo!
Angalia picha zifuatazo kuuona urembo!
JEANS FOR MEN!
Jeans ni vazi lisilomtupa mtu.Ni vazi ambalo wengi wetu huwa halikosekani makabatini mwetu.Zipi suruali,mashati,jackets na kaptula kwa wanawake,wanaume na watoto. Kwa wanawake kuna magauni pia.
Tuangalie jeans kwa wanaume katika mitindo tofauti.
I LOVE THE DRESSES!
Mimi hupenda nguo za pamba (cotton) asilimia 100.Hunifanya nijisikie fresh siku yote.Nimezipenda hizi gauni.
Sunday 10 April 2016
FOR SUNGLASSES LOVERS!
Mimi ni mpenzi sana wa miwani na huwa ninanunua tu bila kujali tayari nina ngapi.
Msimu wa joto unaanza huku ninakoishi ni harakati za kubadilisha kabati kwendana na msimu ujao.
Tuangalie baadhi ya miwani nilizonazo tayari kwa msimu na ninazotarajia kuwa nazo!
Msimu wa joto unaanza huku ninakoishi ni harakati za kubadilisha kabati kwendana na msimu ujao.
Tuangalie baadhi ya miwani nilizonazo tayari kwa msimu na ninazotarajia kuwa nazo!
Thursday 7 April 2016
I LOVE THESE WOMEN SCARVES
Scarf huongeza mvuto katika mavazi yako,inategemea nini umevaa. Mimi hupenda kutupia scarf tofauti.Tuangalie aina tofauti za scarves.
Sunday 3 April 2016
Saturday 2 April 2016
WOMEN CHARM CHAIN SEXY ANKLET ANKLE BRACELET BAREFOOT SANDAL BEACH FOOT JEWELRY
If interested you can buy here
http://www.gotclicks1.com/5kwpyMV35MX9
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...