Sunday 30 October 2016
Saturday 29 October 2016
Friday 28 October 2016
THE WARDROBE: AFRICAN PRINT HI-LO CAPE & PENCIL SKIRT
Hi-lo cape can be worn with skirt, dress or trousers. It is something which is worth to be in your gaderobe.
Thursday 27 October 2016
Friday 21 October 2016
Wednesday 12 October 2016
DONDOO ZA UREMBO: JINSI YA KUONDOA MVI (GRAY HAIR) KWA MAFUTA YA NAZI NA LIMAO
MAHITAJI
Maji ya limao 1
50 g mafuta ya nazi
JINSI YA KUFANYA
Changanya maji ya limao na mafuta
ya nazi.Paka mchanganyiko huko katika nywele zako na hakikisha unafika mpaka
kwenye ngozi (scalp) na unasugua vizuri.
Fanya
hivi angalau mara 1 kwa wiki na utaona matokeo yake.
Tuesday 4 October 2016
KIJANA ALIYETOBOLEWA MACHO BUGURUNI AMSIMULIA RC MAKONDA ILIVYOKUWA
Kama kuna kitu kimenishangaza
na kunisikitisha ni huu ukatili na unyama aliofanyiwa kijana huyu Said. Kweli
machozi yamenitoka.
na kunisikitisha ni huu ukatili na unyama aliofanyiwa kijana huyu Said. Kweli
machozi yamenitoka.
Sikuamini kuwa mtu anaweza
kumfanyia mtu mwingine ukatili wa namna hii.Kilichonisikitisha ni kuona kuwa
Said alishambuliwa mbele ya watu ambao walishindwa kumpa msaada wowote licha ya
Said kupiga kelele za kuomba msaada.
kumfanyia mtu mwingine ukatili wa namna hii.Kilichonisikitisha ni kuona kuwa
Said alishambuliwa mbele ya watu ambao walishindwa kumpa msaada wowote licha ya
Said kupiga kelele za kuomba msaada.
Haingii akilini mtu
anamshambulia mwananchi mwenzie kwa kumchoma visu anavyotaka huku watu wanaona
na wanaendelea na shughuli zao.Na sidhani kama hao wauza kuku hawamjui huyo
mtuhumiwa.
anamshambulia mwananchi mwenzie kwa kumchoma visu anavyotaka huku watu wanaona
na wanaendelea na shughuli zao.Na sidhani kama hao wauza kuku hawamjui huyo
mtuhumiwa.
Mimi nawachukulia wote
waliokuwa eneo hilo wakishuhudia tukio huku wakiendelea na shughuli zao kama
wahalifu pia.
waliokuwa eneo hilo wakishuhudia tukio huku wakiendelea na shughuli zao kama
wahalifu pia.
Kama haitoshi, mbali na
mtuhumiwa kumjeruhi vibaya Said kwa kisu,akamtoboa macho yake kabisa.Hivi kweli
tumefikia unyama wa aina hii?Unakwenda kumjeruhi na kumtia kilema cha maisha
mtu asiye na hatia?
mtuhumiwa kumjeruhi vibaya Said kwa kisu,akamtoboa macho yake kabisa.Hivi kweli
tumefikia unyama wa aina hii?Unakwenda kumjeruhi na kumtia kilema cha maisha
mtu asiye na hatia?
Said alikuwa mtafutaji,kwa ajili ya familia yake. Saidi
alikuwa ni tegemeo kwa ndugu zake na watoto wake.Leo hii amefanywa kuwa
tegemezi.
alikuwa ni tegemeo kwa ndugu zake na watoto wake.Leo hii amefanywa kuwa
tegemezi.
Mimi ingekuwa amri yangu hizo biashara zote zilizopo katika
eneo hilo alilofanyiwa ukatili Said ningezifungia na kuwajumuisha wahusika wote
katika kesi inayomkabili mtuhumiwa. Wao si wanafuga wahalifu.
eneo hilo alilofanyiwa ukatili Said ningezifungia na kuwajumuisha wahusika wote
katika kesi inayomkabili mtuhumiwa. Wao si wanafuga wahalifu.
Tunaiomba mahakama imtendee
haki Said. Mtuhumiwa na wote walioshirikiana nae wapate adhabu inayostahili.
haki Said. Mtuhumiwa na wote walioshirikiana nae wapate adhabu inayostahili.
Wananchi wenzangu pamoja na
serikali tumpe Said msaada wa kuikabili changamoto aliyonayo.
serikali tumpe Said msaada wa kuikabili changamoto aliyonayo.
KWA JINSI GANI?
Kwanza, kuona kama anaweza
kusaidiwa kurudisha uwezo wake wa kuona.Hapa serikali na wana harakati kufanya utafiti wa haraka kama kuna uwezekano wa kupata tiba hii nje ya
nchi.
kusaidiwa kurudisha uwezo wake wa kuona.Hapa serikali na wana harakati kufanya utafiti wa haraka kama kuna uwezekano wa kupata tiba hii nje ya
nchi.
Pili,Kama uwezo wa kutibiwa upo, gharama ziainishwe na watu tumchangie.
Pole sana Said na tupo pamoja
na wewe na nuna uhakika utaipata haki yako na tutasaidia matibabu yako.
na wewe na nuna uhakika utaipata haki yako na tutasaidia matibabu yako.
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...