Mimi ni mpenzi sana wa viatu,handbags na perfumes hivyo nikiona kiatu chochote kilichonivutia au perfume niliyoipenda sina budi ju share nanyi wasomaji wangu.
Thursday 27 April 2017
Tuesday 25 April 2017
VIATU KWA WANAWAKE
Kiatu cheusi unaweza kuvalia nguo yeyote hivyo ni muhimu kuwa nacho.
Pia,unaweza kuwa na rangi nyingine
Friday 21 April 2017
Tuesday 18 April 2017
THE BATHROOM: BATHTUBS
Unapenda mwonekano gani katika bafu lako?Je,unapenda bafu lenye shower au bath tub au vyote?
Majibu ya maswali haya ndiyo yataamua mwonekano wa bafu lako.
Mimi hupendelea kuoga kwenye bathtub.Ni sehemu ambayo ninaweza kuchukua muda mrefu kupumzisha akili yangu baada ya harakati za siku nzima.Hunifanya nijisikie vizuri.
Bathtubs zipo za aina tofauti kulingana na kipato chako.
Hebu tuangalie bathtubs zifuatazo
THE DINNING ROOM: DINNING ROOM FURNITURE
Unaweza kuifanya dining room yako iviutie kutokana na furniture (samani)utskaxowela na mpangilio wake.Haijalishi kama dining room yako ni kubwa au ndogo,kikubwa ni ubunifu wako tu katika kupangilia.
Si lazima ufanye kazi hii mwenyewe.Unaweza kutumia wataalamu wa kupamba/kupangilia nyumba wakakushauri.Ila washauri hawa hutoza gharama kwa kazi hiyo.
Angalia hapa chini baadhi ya samani za dining room na mpangilio wake.
Sunday 16 April 2017
PASAKA NJEMA KWENU WOTE!
Rainbow-tz blog inawatakia wote heri ya sikukuu ya Pasaka.Wote tu sherehe keep sikukuu kwa amani na upendo.
Ni kipindi cha kuonyesha upendo kwa wenzetu walio katika wakati mgumu/mazingira magumu.Kwa kufanya hivi baraka za Mwenyezi Mungu zitakuwa nasi sasa na hata milele na zitamulika maisha yetu kama mshumaa.
HAPPY EASTER TO YOU ALL!
Saturday 15 April 2017
Wednesday 12 April 2017
LOVING THESE DRESSES
Magaoni yanaopatikana katika website hapo chini
They are available here:
http://www.gotclicks1.com/5mErSnsAAvDc
Sunday 9 April 2017
Saturday 8 April 2017
VIRTUAL VYA KILEO KWA WATU WA LEO
India happy @sanamodaboutique
THE BEDROOM:AINA ZA VITANDA NA MPANGILIO WAKE
Mimi ninapendelea continental beds.Na ndizo nitawaonyesha haha Leo!
THE LIVING ROOM:UPANGILIAJI WA SEBULE
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...