Mchezaji tennis wa kike namba moja duniani Serena Williams,amefunga ndoa na mchumba wake Alexis Ohanian.Serena alivalisha na Alexander McQueen
Saturday 18 November 2017
Friday 17 November 2017
Thursday 16 November 2017
Tuesday 14 November 2017
THE WARDROBE
Unaweza kuvaa simple kabisa na u kapendeza mno.Unaweza kununua mavazi kwa bei poa kabisa na ukapendeza kutokana na upangiliaji wako na ukamshinda aliyevaa mavazi ya wabunifu wakubwa.
Mimi binafsi huvutiwa na style /design ya kitu zaidi kuliko jina la mbunifu.
Nguo zifuatazo ni simple ila zimebuniwa vizuri.
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...