Sunday 28 January 2018
MITINDO: CASHMERE PASHMINA SHAWLS/SCARF SCARVES WRAP
Mimependa sana hizi Scarves/wraps. Bei yake ni kali ningeagiza nyingi kuuza kwa anaetaka ila hapana tuangalie picha tu
Thursday 25 January 2018
HOME DECOR: CONTINENTAL BEDS
Kitanda ni sehemu ambayo wengi tunatumia muda wetu mwingi pale tunapohitaji kupumzika. Kama ni hivyo basi tunaponunua kitanda ni lazima tuangalie kitanda kinachofaa. Kwangu mimi uzuri wa kitanda ni godoro.Ukiwa na godoro linalofaa utatamani kupumzika kitandani kila unapojisikia kufanya hivyo.Godoro kama ni baya hutakitaka kitanda.Kitanda chenye godoro baya hukuletea uchovu na maumivu ya mgongo.
UBUNIFU UNAVYOWEZAPENZDEZESHA NYUMBA YAKO
Kuna vitu vingi tunavitupa ila tukifikiri zaidi tunaweza kuvibadilisha au kuvifanyia ubunifu wenye manufaa kwetu. Vitu kama chupa, matairi, viatu tusivyotumia, makopo, sahani, baiskeli n.k, vinaweza kutumika tena katika kutengeneza urembo mbalimbali majumbani kwetu. Leo ninaweka mifano michache.
Tuesday 23 January 2018
BAADA YA KIMYA KIREFU TUENDELEE KU-BLOGU
Wasomaji wangu karibuni tena tuendelee kuelimishana kuhusu vitu vizuri kuanzia mavazi, furniture/mapambo ya nyumba n.k
Samahani kwa kutokuwepo hewani kwa muda mrefu kutokana na sababu zilikokuwa nje ya uwezo.
Kwasasa blogu yetu itaendelea as never before. Asante wote kwa uvumilivu na poleni wote kwa kuwavunja moyo.
Samahani kwa kutokuwepo hewani kwa muda mrefu kutokana na sababu zilikokuwa nje ya uwezo.
Kwasasa blogu yetu itaendelea as never before. Asante wote kwa uvumilivu na poleni wote kwa kuwavunja moyo.
Stockholm kwasasa ni baridi na hali ni kama inavyoonekana katika picha
LOAFERS KWA WANAWAKE
Binafsi napenda sana viatu vya rangi ya kahawia(brown) na ninavyo pair za kunitosha katika mitindo tofauti, Hupendeza kuvaa na jeans
Subscribe to:
Posts (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...