Sunday 15 September 2013

MWANAMUZIKI WA WEEKEND: WHITNEY ELIZABETH HOUSTON


Albamu yake ya I LOOK TO YOU aliitoa baada ya vita vyake vya muda mrefu kupambana na matumizi ya  madawa ya kulevya.Whitney  alionyesha kuwa bado na uwezo mkubwa.

Whitney Elizabeth Houston maarufu kama ``the voice`` alizaliwa tarehe 9 augusti 1963, huko  Newark, New Jersey, USA. Whitney aliolewa na Bobby Brown na wakabahatika kupata mtoto wa kike aitwae Bobbi Kristina Houston Brown.Mwimbaji hyu alianza kuimba akiwa mdogo.Whitney anafahamika kwa vibao vyake vingi vikali.

UNAJUA ALBAMU ZA WHITNEY?
Baadhi ya albamu zake ni Whitney Houston (1985), Whitney (1987), I´m your baby tonight(1990),  My love is your love (1998), Whitney-The Greatest (2000),Love, Whitney (2001), Just Whitney (2002),One wish-The holiday album (2003), I look to you (2009)

UNAJUA KAMA WHITNEY ALIKUWA MCHEZAJI SINEMA?
Mbali na kuimba Whitney alicheza sinema zifuatazo: The Bodyguard (1992), Waiting to Exhale (1995), The Preacher's Wife (1996), Sparkle (2012).
Whitney Houston alifariki tarehe 11 februari 2012 huko Beverly Hills, Kalifonia, USA.
Whitney Houston


Whitney,1985
Kwa kuona picha zaidi za Whitney ``the voice`` bonyeza READ MORE



File:Flickr Whitney Houston performing on GMA 2009 4.jpg
Whitney Houston,2009
Whitney akiwa na binti yake,Bobbi Kristina


Whitney akiwa na Nelson Mandela


Whitney,(wa tatu kushoto)akiwa na familia yao


Whitney akiwa na mama ya ke Cissy


Whitney akiwa na aliyekuwa mumewe,Bobby Brown

Whitney akiwa na Jmwimbaji ordin Sparks katika movie  yake ya mwisho,``Sparkle`` 





  Picha 3 za mwisho ndivyo Whitney alivyokuwa anaonekana katika nyakati za mwisho wa maisha yake kabla ya kifo chake.

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...