Kundi la Weusi likipiga shoo ya nguvu ndani ya usiku wa Kili, Mlimani City.
Madee akitumbuiza
Ommy Dimpoz na Vanessa Wakitumbuiza

Madancer wa bendi ya Twanga Pepeta wakiwasubiria wenzao wa Extra Bongo walipokuwa wakishindana kutoa show

Hawa ni wachezaji wa Extra Bongo wakitoa burudani

Kalala Junior

Mpoki na Shadee

Fred Saganda akitoa burudani

Alice kushoto akifuatiwa na Vanessa Mdee,Maua na Meninah

Cassim Mganga akimtunza Vanessa baada ya kuimba wimbo wake wa Awena vizuri

Menina aliimba Sumu ya Penzi wa Belle 9

Kadjanito akiimba wimbo wake wa Maumivu

Diamond ane alitoa show nzuri sana




Wema akienda kumpongeza Diamond wakati wa show
CHANZO: GPL& Bongo 5
No comments:
Post a Comment