Usiboreshe bustani tu na ukasahau unapoweka ubavu(bedroom).Chumba cha kulala kinapaswa kuwa kitanda chenye godoro pamoja na mito inayokidhi matumizi ikimaanisha viwe na ubora unaotakiwa.Vilevile,chumba cha kulala hakitakiwi kuwa na vitu vingi.Kumbuka hiyo ni sehemu yako ya kulala tu.Urembeshaji wa chumba kwa mapazia,rangi na taa unawezakupata ushauri kutoka kwa interior decorators.
No comments:
Post a Comment