Friday 31 May 2013

KLYN AWEKA WAZI UHUSIANO WAKE NA REGINALD MENGI


Kumekuwepo na Minong'ono mingi lakini hapakuwa na ushahidi wa hili mpaka mwanadada huyo alipoamua kuanika hadharani kuwa mheshimiwa Reginald Mengi ndiye baba halali wa mapacha wake . 



Hiyo ndo Tweet ya Klyn kwa mpenzi wake Mh. MENGI

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...