Sunday 30 June 2013

HABARI KATIKA PICHA:OBAMA AKIWA ROBBEN ISLAND




Gereza la Robben


Rais Obama na mkewe Michelle wakitembea katika gereza la Robben karibu na  mji wa Cape town.
President Barack Obama and First Lady Michelle Obama in a prison yard at Robben Island, 30 June 2013







Obama akisaini kitabu cha wageni
Note in visitor's book written by President Obama and signed by him and the first lady, 30 June 2013
Huu ndiyo ulikuwa ujumbe aliouandika,ujumbe wake aliumalizia kwa kuandika "no shackles or cells can match the strength of the human spirit".


Obama alitumia muda katika chumba kidogo(selo) alichokuwa akilala Nelson Mandela





Obamas in quarry on Robben Island, 30 June 2013
Hili ni eneo ambalo wafungwa akiwemo Mandela,walifanyishwa kazi


Obama alitembezwa na mwanasiasa wa zamani aitwae  Ahmed Kathrada mwenye umri wa miaka 83 ambae alifungwa pamoja na Mandela.Kathrada alimwambia Obama kuwa wafungwa walifanyishwa kazi kila siku.Mandela alikaa katika gereza hilo kwa kipindi cha miaka 18 katika selo ndogo.Ni katika gereza hili ambapo Mandela alipata matatizo ya mapafu yanayomsumbua hadi sasa. 
BBC & THE EXPRESSE

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...