Rais Obama kushoto na Michelle kulia wakikaribishwa na Jacob Zuma na mkewe Tobeka latika jumba la Umoja,Pretoria
Rais Barack Obama na mkewe Michelle Obama,kushoto, akipunga.Wa pili kulia ni rais wa Afrika ya kusini Jacob Zuma, na mkewe Tobeka Madiba Zuma, kulia, katika ngazi za jengo la Umoja lililopo Pretoria, Afrika ya kusini,Jumamosi juni 29.
Rais Obama akiwa na mwenyeji wake rais Jacob Zuma
Rais Obama akiwa katika mkutano (town hall meeting) mjini Soweto ambapo aliongea na young African leaders katika chuo kikuu cha Johannesburg
Michelle Obama akiwa kwenye mkutano wake na vijana nchini Afrika ya kisini,Jumamosi
Rais Obama akiwa na kamishna wa Umoja wa Afrika nkosazana Dlamini Zuma
Rais Obama na mkewe Michelle wakiwa na mwenyeji wao Rais Jacob Zuma na mkewe Tobeka tayari kwa chakula cha jioni kilichoandaliwa na rais Zuma kwa ajili ya heshima yao
CHANZO: daily mail Uk
No comments:
Post a Comment