Friday 26 July 2013

AGONGWA NA GARI NA KUFA PAPO HAPO DAR ES SALAAM HII LEO



Mkazi wa Dar es Salaam ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja leo amefikwa na umauti baada ya kugongwa na gari aina ya Nissan ambalo linafanya shughuli za kubeba abiria kati ya Gongo la Mboto na Kariakoo jijini Dar es Salaam namba za usajili T 288 AZB na namba ya njia ni S 264D.

Kwa mujibu wa mashuhuda wameiambia Father Kidevu Blog kuwa, marehemu aligongwa na gari wakati akijaribu kuvuka barabara ya Nyerere eneo la Mtava karibu na Quality Centre leo asubuhi.
CHANZO: VIJIMAMBO

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...