Saturday 13 July 2013

ANTI EZEKIEL AFUTURISHA

  Baadhi ya  wageni walioalikwa wakijiandaa kwa ajili ya kupata futari hiyo
Aunt Ezekiel akiwa pamoja na wageni wake akifuturu
Staa wa maarufu wa filamu Jacob Steven ‘Jb’ akipata Futari hiyo
Baada ya futari JB na Aunt Ezekiel wakiwa katika nyuso za furaha.


Baadhi ya maanjumati aliyoandaa Aunt.
Staa maarufu wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel jana aliandaa futari na kuwakaribisha ndugu jamaa na marafiki nyumbani kwake Mwanyamala Garage ambapo wasanii wenzake kama Jacob Steven ‘Jb’ Steve Mengele na Hartman Mbilinyi walijumuika katika mualiko huo.
PICHA: IMELDA MTEMA

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...