Monday 15 July 2013

CHOKORAA WANASWA KITUO CHA MABASI UBUNGO, WAFIKISHWA MAHAKAMANI DAR


WATOTO wa mitaani ‘Chokoraa’ leo wamepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Sokoine Drive jijini Dar na kufunguliwa mashitaka ya uzururaji. Watoto hao walinaswa kwenye msako uliofanyika kwenye kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani ‘Ubungo Bus Terminal’. 

Zifuatazo ni baadhi ya picha za watoto hao na yeyote anayetaka kuwafuatilia afike kwenye gereza la watoto lililopo Kisutu. 


Watoto wa mitaani 'Chokoraa' wakipelekwa kwenye gereza la watoto lililopo Kisutu jijini Dar es Salaam.


CHANZO:      PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL 

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...