Banda la NSSF linavyoonekana kwa nje.
Meneja Kiongozi Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya maofisa waandamizi wa NSSF katika Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Ofisa Uendeshaji wa Masuala ya Kompyuta, Kassim Mwandoro akitoa ufafanuazi kuhusu huuma wanazotoa kwa watu waliotembelea banda la NSSF.
Mapokezi
Mtoto, Suleiman Mohamed Salum (15), ambaye ni mwanafunzi wa shule ya Sekondari ya Ufundi Mtwara akipata maelezo kutoka kwa Ofisa Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Amina Mbaga.
Watu mbalimbali wakipata huduma.
Maelekezo.
Ofisa wa Wakala wa Bima wa NSSF, Issac Peter akitoa maelezo ya huduma wanazotoa.
Meneja Kiongozi Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume (kulia) akiwa na Ofisa Uhusiano Mwandamizi (NSSF), Theopista Muheta.
Mwanachama wa Orwinda Saccos, Rosemery Mulamula akionesha mali mpya walizoleta katika Monesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa. Saccos hiyo imeweza kushiriki maonesho hayo baada ya kupata mkopo kutoka NSSF.
CHANZO: Mtaa kwa mtaa
No comments:
Post a Comment