Mbali ya kuwa mkoa wa Ruvuma ni maarufu kwa kilimo hususan mahindi,vilevile kuna utajiri wa mawe a vito aina ya sapphire na ruby.Kwa kumbukumbu zangu binafsi uchimbaji huu umeshamiri katika wilaya ya Tunduru.

Hii ni barabara ya kuelekea Songea


![]() |
Kanisa la Katoliki,Peramiho![]() |

Baadhi a mitaa ya Songea mjini
Kaburi la halaiki walipozikwa mashujaa wa vita vya majimaji
Kaburi la Songea Mbano ambaye alizikwa peke yake na jina la mji wa Songea limetokana na jina lake

Mawe aina ya sapphire yanapatikana Songea

Mawe aina ya ruby yanapatikana Songea vilevile
No comments:
Post a Comment