Wednesday 10 July 2013

SIKILIZA HEKAHEKA NA GEA HABIB

.
.

Hekaheka ni sehemu ya Leo Tena ya CloudsFM ambapo huwa inadili na kuripoti zile taarifa ambazo mara nyingi hazitolewi kama habari kwenye vyombo mbalimbali vya habari.
July 9 2013 Gea Habib ameripoti kuhusu kundi la vijana wa uswahilini Temeke ambalo huwamua tu kufanya sherehe na kelele nyingi sehemu yoyote, msikilize zaidi hapa chini…
CHANZO: Millard Ayo

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...