
Imelda Mtema na Hamida Hassan
WAZIRI Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Fredrick Sumaye, mwishoni wa wiki iliyopita aliinogesha sherehe ya kuagwa ‘Send Off’ ya mwigizaji wa kitambo na Mtangazaji wa Radio Times, Suzan Lewis ‘Natasha’.
WAZIRI Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Fredrick Sumaye, mwishoni wa wiki iliyopita aliinogesha sherehe ya kuagwa ‘Send Off’ ya mwigizaji wa kitambo na Mtangazaji wa Radio Times, Suzan Lewis ‘Natasha’.



Katika sherehe hiyo iliyokuwa na shamrashamra na vitu vingi vya kuvutia kila wakati wageni waalikwa walionekana kujawa na nyuso za bashasha.
CHANZO: GPL
No comments:
Post a Comment