Friday 30 August 2013

HIVI NDIVYO LAUNCHING VIDEO YA DIAMOND,MY NUMBER ONE ILIVYO HAPPEN NDANI YA SERENA HOTEL



WASAFI......WCB

Picha Picha tu zinahusika sehemu kama hizi.....Kumbukumbu tosha.


William Malecella or U can Call Him Lemutuz.....

I-view Media C.E.O & Founder Raqeey wa kulia na Mpenzi wa Nancy Sumari.
Nancy Sumari,Kulia akiteta jambo na mgeni
mwingeni mwalikwa....Sehemu kama hizi
ukutanisha watu na kubadilishana mawazo...

Kutoka Kushoto A.Y,Shaa,Bench Mark Founder
 & EBSS Chief Judge Madam Rita & Salama Jabir
ndani ya nyumba....





Kila mtu Busy na simu kuangalia kianchojiri
kwenye upande wa pili wakisubiria Launching ya
My Number One...




Uncle Salu akukosekana nae,kuhakikisha mambo yanaenda sawa
pembeni ni mama yangu Mzazi BI Sandrah....



Mama Yangu kipenzi akukosekana,Asante
sana mama kwa kufika,Binafsi nafarijika
kuona hata mama yangu mzazi anakubali kazi zangu...

Kelvin Twisa toka Airtel nae ndani ya Jumba....






Hizi unazoona kwenye Screen ndani ya picha
ni baadhi ya Clip za Behind the scene ya
My Number One....



Babu tale toka Tip Top Connection & Fella toka TMK...
Toka Bongo MOVIE JAY B & RAY walikuwepo kuona
 kile ndugu yao wa karibu nini nafanya...





Madee toka Tip Top Connection nae alikuwepo...

Proffesor Jay nae alikuwepo kuakikisha anashuudia
 kile ambacho alikuwa akikisikia...





Abdallah au waeza muita Mjukuu wa Ambua basi tumuite Dullah Planet Bongo
ndiye alikuwa anaongoza gurudumu ili kuanzia mwanzo hadi mwisho...

Wenzetu wanaita Master Of Ceremony but
binafsi watu wanaoendesha shuguli yoyote
ya maongezi au Sherehe namuiaga msema Chochote....



Nikitokeza kwa Stage kusalimiana na wageni wangu waalikwa waliofika kwaajili
yangu kushuudia uzinduzi wa Video yangu Mpya.....


Hahaha usiombe usikie nilichoambiwa
 hapa mbele....Lazima utatabasamu...




Mama yangu akitabasamu kuonesha ishara ya furaha ndani yake...


Furaha ilioje.....imezidi mpaka imepitiliza...uwiiii
mama yangu nakupenda sana...

SENEDA vipi tena....? Macho Kodoo wapi....

Muda baada ya wadau wangu na watu
wangu wa karibu kuiona video hiyo
hii ilikuwa zawadi yangu kwao,kwa mara ya
kwanza nimetumbuiza my number one
kwenye stage....

Gentleman's.......
Taratibu......
Aghaaa.....Tatu kidonda chako kwangu maradhi......
Kwa mahaba uliyonipa...Nimenogewa.....
Ajajaja Mizuka imepanda....

Woshhhhh.....Balaa sana...... 










Baada ya kutumbuiza nilikuwa na machache ya kuzungumza nao....




Kutoka Kushoto Sheddy Clever Producer aliefanya My Number one.....



Ommy Dimpoz...Tupogo nae alikuwepogo ndani ya Nyumba.....







G5 CLICK.....

Nikikumbatiana na Ommy Dimpoz...Thanks Man kwa kutokea...





Nilikuwa Busy sana toka nimewasili baada ya
 kila kitu ilikuwa time ya kuzunguka na kuongea na kusalimu
wageni waalikwa......Mmoja wapo Kaka yangu
Dully nilienda kusalimiana nae kitambo atujasomana...

Ukikaa na huyu mtu kamwe uwezi nuna pasipo sababu ya msingi.....
Qboy Msafi...Assistance wangu wa karibu...







Nikisikiliza jambo la muhimu toka kwa
 Meneja mahusiano wa Airtel Tanzania...


Dude a.k.a Yahya au waeza mwita Bongo
Dar Es Salaam alikuwepo pia....

Nelly toka G5 Clik ya Clouds Media Group nae ndani...
Ommy Dimpoz & Qboy msafiii
My Blood Rommy Jones au waweza muita Vice
President wa wasafi,Ommy Tupogo,Qboy & Prince Dully

Family....Romeo & Mwengi Ali shem lake....
My Fresh n Blood Sister ESMA KHAN nae
 akukosekana licha ya kuwa mbali kidogo lakini
aliweza wahi kuja kunipa support mdogo wake...

Kulikoni Romeo wamfokea Penniel........??? Sielewi
Esma Khan & True Boy Nay....

Kichwa mimi hapa,SALMA msangi & Proffesor J....
Essy & I



Mechoka sana muda huo ilinibidi k
ukimbia kurudi hotelini kupumzika
baada ya siku 4 nyuma kuwa resi muda mwingi
kufanikisha jambo ili,Namshukuru
sana Mungu kwa kufanikisha Jambo ili na Crew
 Yangu nzima ya WASAFI CLASSIC BEIBY

Doooh......Noma sana

Memaliza watu wang wa kweli......
CHANZO: This is diamond

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...