Saturday 31 August 2013

LULU AZINDUA FOOLISH AGE

Gari lililokuwa limembeba Lulu likiingia Ukumbini hapo.
Lulu akishuka ndani ya gari hilo tayari kwa kuzama ukumbini.Lulu akiingia ukumbini
Msanii wa Orijino Komedi Lucas Mhuvile 'Joti' (katikati), akishuhudia uzinduzi huo na marafiki zake.
Lulu akiongea jambo muda mfupi kabla ya uzinduzi wa filamu hiyo.
Wema  na Kajala wakiselebuka moja ya ngoma za Lady Jaydee mala baada ya kuanza kutumbuiza.


Lulu akiimba wimbo wa Yahaya sambamba na Lady Jaydee.
Baadhi ya mashabiki walihudhuria kwenye uzinduzi huo wakifuatilia kwa makini.
Barnaba akinogesha uzinduzi huo kwa kuchalaza gitaa.
MSANII wa Filamu Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu', usiku wa kuamkia leo amefanikisha zoezi la uzinduzi wa filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Foolish Age Tukio la uzinduzi huo lilifanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, na kuhudhuriwa na mastaa kibao wa tasnia mbalimbali hapa Bongo, wakiwemo; Judith Wambura 'Lady Jaydee', ambaye alitumbuiza sambamba na Barnaba na Amini.
(HABARI/PICHA: MUSA MATEJA NA SHAKOOR JONGO/GPL)

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...