Sunday 22 September 2013

HAPPINESS WATIMANYWA KUTOKA DODOMA ATWAA TAJI MISS TANZANIA 2013/2014.


Mrembo Happiness Watimanywa kutoka Dodoma ameshinda taji la Miss Tanzania 2013/2014 baada ya kuwabwaga warembo wenzake 29. Kwa ushindi huo Happiness amejishindia zawadi ya gari aina ya IST na Tsh. millioni 8. Nafasi ya pili imechukuliwa na Latifa Mohamed na nafasi ya tatu kuchukuliwa na Clara Bayo.


 kutoka kushoto ni Latifa Mohamed aliyeshika nafasi ya pili, katikati ni Happiness Watimanywa aliyetwaa taji na mshindi wa tatu ni Clara Bayo
the top 5

                             The    top 10
CHANZO: MICHUZI

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...