Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa wakati akishiriki matembezi ya hisani katika kuchangisha fedha kwa ajili ya mpango wa Dawati ni Elimu yaliofanika leo jijini Dar es salaam na kushorikisha wadau mbalimbali katika masuala ya Elimu hapa Matembezi hayo yakipitia mtaa wa Ohio jini Dar es salaam, wanne kutoka kulia ni Mkuu wa wilaya ya Ilala Bw. Raymond MushiMatembezi ya hisani ya Dawati ni elimu yakianza uwanja wa Mnazi mmoja leo 12 Ocktoba.Mgeni rasmi Mama Salma Kikwete akifurahia zawadi yake yake aliyokabidhiwa na Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa mara baada ya matembezi hayo.Mgeni rasmi Mama Salma Kikwete akisisitisha umuhimu wa elimu wakati akizungumza na washiriki wa matembezi hayo mara baada ya kumalizika jijini Dar es salaam leo.
Mazoezi kabla ya matembezi ya hisani ya Dawati ni ElimuMama Salma Kikwete akipokea zawadi yake kutoka kwa Jerry Silaa Meya wa Manispaa ya Ilala leo mara baada ya kushiriki matembezi ya Dawati ni Elimu yaliyofanyika jijini Dar es salaam leo.
No comments:
Post a Comment