Sunday 29 December 2013

WASTARA NA WAIGIZAJI WENGINE WA FILAMU WAMSOMEA DUA MAREHEMU SAJUKI

Msanii wa filamu Wastara leo ameungana na wadau mbalimbali wa filamu makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kusoma dua kwaajli ya marehemu mume wake, Juma Kilowoko aliyekuwa maarufu kwa jina Sajuki.
Mzee Chiro akiwa na Wastara.
Mzee Chilo akiwa na Wastara
Hata hivyo Wastara alisema baada ya shughuli ya leo(jana), dua rasmi ya marehemu Sajuki itafanyikia nyumbani kwao Songea, January 2, 2014.
Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuhika.
Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuika.
Dua ikisomwa
Dua ikisomwa
Wastara na Frora Mvungi
Wastara na Flora Mvungi
IMG-20131228-WA0068
IMG-20131228-WA0069

IMG-20131228-WA0077

Picha kwa hisani ya Wastara


No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...