Usafiri wa daladala jijini Dar ni moja ya usafiri wenye mikikimikiki mingi kutokana na abiria kuwa wengi kupita uwezo wa basi hivyo kupelekea abiria kugombea nafasi.Kama hii haitoshi abiria wengi husimama ndani ya mabasi hivyo kuleta hali ya mashaka kwa abiria kwani wezi nao hutumia mwanya huo kuwaibia abiria.Abiria wengi hukumbwa na janga hili kila siku.Hapa ndiyo linakuja swali je, mabasi yaendaho kasi yaramaliza hili tatizo?
PICHA: James Nindi
No comments:
Post a Comment