Tuesday, 4 March 2014

UJAJI WA MABASI YAENDAYO KASI UTAPUNGUZA ADHA HII?



Usafiri wa daladala jijini Dar ni moja ya usafiri wenye  mikikimikiki mingi kutokana na abiria  kuwa wengi kupita uwezo wa basi hivyo kupelekea abiria kugombea nafasi.Kama hii haitoshi  abiria wengi husimama ndani ya mabasi hivyo kuleta hali ya mashaka kwa abiria kwani wezi nao hutumia mwanya huo kuwaibia abiria.Abiria wengi hukumbwa na janga hili kila siku.Hapa ndiyo  linakuja swali je, mabasi yaendaho kasi yaramaliza hili tatizo?
PICHA: James Nindi

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...