Diamond na Wema Nguo ya Wema kwa nyuma |
Aunt Ezeckiel, Diamond na Wema
Katika kipengele cha Kolabo Bora (Best Collaboration) nominees walikuwa ni 'Number One' (Remix) (Tanzania/ Nigeria), Amani ft Radio na Weasel- 'Kiboko Changu' ( Kenya/ Uganda), Mafikizolo ft May D - 'Happiness' ( Afrika Kusini/ Nigeria), R2bees ft Wizkid - 'Slow Down' (Ghana/Nigeria) na Uhuru ft DJ Buckz, Oskido, Professor, Yuri Da Cunha - 'Y-tjukutja' (Afrika Kusini/Angola) ambapo mshindi alikuwa ni Uhuruft DJ Buckz,Oskido na wengine. Diamond aliambulia patupu katika vipengele vyote viwili alivyoshiriki.
Davido,mshindi wa kipengele-mwanamuziki bora wa kiume
Katika kipengele Mwanamuziki Bora wa Kiume nominees walikuwa ni Anselmo Ralph ( wa Angola), Davido (Nigeria), Donald (Afrika Kusini) , Wizkid (Nigeria) na Diamond Platnumz (Tanzania) ambapo mshindi alikuwa ni Davido kutoka Nigeria.
Khloe Kardashian
French Montana
CHANZO: Millard Ayo na GPL
No comments:
Post a Comment