Tuesday 24 June 2014
CONVERSE NDIYO MPANGO MZIMA
Converse ninazozipenda mimi ni hizi ballerina.Bahati mbaya nimehangaika sana kupata rangi nyeusi au nyeupe bila mafanikio.Nikizipata zinakuwa ni size ndogo.Kwa jinsi ninayozipenda nitanunua tu rangi yeyote kati ya hizi hapo chini!Je,wewe unaona rangi ipi ni nzuri?
1: Rangi ya pinki
2: Rangi ya bluu ya bahari
3: Rangi ya zambarau ya mpauko
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
No comments:
Post a Comment