Saturday 19 July 2014

KUHUSU MTOTO ALIYEPOTEA KWENYE MAZINGIRA YA KUTATANISHA DAR ES SALAAM

mttTaarifa ya mtoto Marry ambaye kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zimetolewa picha zake na maandishi ya kuwa amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha na baadhi ya watu walisema kuwa walimuona amechukuliwa na mtu akawa anaelekea maeneo ya kanisa la Assemblies, Changanyikeni akiwa amepakiwa kwenye boda boda mpaka sasa hivi mtoto hajaonekana.
Sasa Gea Habib na idara ya Hekaheka wameenda mpaka huko kwao na huyo mtoto,sikiliza kilichozungumzwa.
88.0 Clouds Fm inasikika ukiwa Tabora.
Bonyeza play kusikiliza.
Chanzo: Millard Ayo

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...