Huu ni mlo niliokula mchana wa leo.Ni samaki aina ya salmon, viazi 2 vya kuchemsha na mbogamboga ambazo ni brokoli,njegere, pilipili hoho nyukundu na mahindi machanga.
Nilitengeneza na sosi ambayo nilimwagia katika salmon.
Ni chakula chenye afya na ni rahisi kutengeneza.
Monday, 14 July 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixPkmUD6BlELGsmsbPwjpDvUzYVSJucL9tIDOmhvtYZ1VdZsMdjBLkWzRECV5h5GfG1cmlO02mAtIF24K_1czuOnGk95QraoMEY2I52c4f3kxOOA8qfcoQIXP4dibVU2F30C-kqcGrlovjLX0NC3VbSlyQFDMXb-iwY0vwKCgu3gg1Qn30Mv4OVUjb2sg/w400-h266/caribbean-3942784_1280.jpg)
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
No comments:
Post a Comment