Angalia mpangilio wa sebule kulingana na matakwa yako.Kuna wanaopenda kuwa na sofa za vipande (pieces) nyingi na kuna wanaopenda kuwa na piece moja tu kubwa. Sofa ambazo huonekana kama piece moja kubwa huweza kugawanywa vilevile katika pieces nyingi.Hizi nitawaonyesha vizuri katika makala zijazo hivyo endeleea kufuatilia hapa.
Siku hizi mfuko wako(pesa) ndiyo unaamua unataka nini au unaweza kufanya nini.Tuangalie picha zifuatazo katika kuelewa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PALM TREES ARE BEAUTIFUL
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
-
Dar es Salaam: Mwekezaji Sheikh Salim Abdullah ametangaza kuwekeza kwenye Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere Dar es Salaam (JN...
-
1. PASTA Hiki ni chakula cha haraka.Unaweza kutayarisha pasta kwa kuongeza tu protini ulizonazo katika jokofu lako mfano kuku...
No comments:
Post a Comment