Mapambo ya kitamaduni kama ngoma, vinyago, picha za kuchora n.k, yanaweza kubadilisha kabisa mandhari ya nyumba yako na kuifanya iwe na mvuto.Hii itategemea ubunifu wako katika kuvipangilia vitu hivyo.Nakumbuka wakati nyumbani kwetu tulikuwa na mapambo mengi ya asili kama ngoma, ungo za aina tofauti, side tables za mpingo, vinyago,picha zilizotengenezwa kwa kutumia majani ya migomba nk.Baba yangu alikuwa mpenzi sana wa vitu hivyo.Kusema kweli nyumba ilikuwa na mvuto wa aina yake!
Hebu tuangalie baadhi ya mapambo katika picha hizi.
No comments:
Post a Comment