Nimechemsha mahindi baada ya kuyatamani sanaaa! Bahati mbaya mahindi haya sijanunua fresh bali ni ya katika paketi.Ladha yake ni nzuri tu kama mahindi mabichi fresh.Ngoja niendelee kula mie . Karibu!
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
No comments:
Post a Comment