Saturday 22 November 2014

JE, HALI YA ELIMU MJINI TANGA IKOJE?



Nimefurahi kuwaona walimu wangu wakiongea katika video hii.
Wa kwanza ni Mrs Rajyagur, ambaye alikuwa mwalimu wangu wa kiingereza katika shule ya msingi  Darajani(zamani Agakhan),Tanga.

Na wa pili ni mwalimu Mwaeshu,ambaye alikuwa ni mwalimu wangu wa Kiswahili katika shule ya sekondari,Usagara.

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...