Saturday 25 April 2015

KALI YA LEO!


Hivi utajisikiaje unapokuwa umepewa lifti kwenye gari halafu mmefika kwenye taa za barabarani na kukuta taa ya kijani inawaka. Mwenye gari ambaye ni dereva anakuuliza wewe ambaye ni abiria, “hivi taa ya kijani inamaanisha nini”?

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...