Taarifa kuwa wakili mmoja
wa kenya amesema yuko tayari kutoa mahari kwa mtoto wa raisi wa
Marekani,Barrack Obama zimeenea duniani kote Felix Kiprono amesema yuko tayari
kutoa ng'ombe 50,kondoo 70 na mbuzi 30 kwa ajili ya mahari ya mtoto wa
Obama,Malia Obama.Hivyo anajiandaa kuzungumzia swala hilo na baba wa mtoto huyo
atakapo tembelea Kenya ,mwezi Julai.
CHANZO: BBC
No comments:
Post a Comment