Sunday 31 May 2015

PICHA YANGU LEO

Hii ndiyo alama ya taifa letu.Twiga!
Huyu ni mnyama mpole na mwenye mwendo wa madaha.Akitembea hutatamani kuacha kumwangalia.Ama kweli Tanzania tuna utajiri uliotukuka.

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...