Nimeipenda hii.Inatakiwa tunapotembea tujifunze vitu na baadae
tuvifanyie kazi.Angalia video hii huyu katika pitapita zake katika mitaa ya Bangkok, Thailand aliona jinsi
mtengeneza juisi ya komamanga alivyoweza kutoka mbegu za komamanga kwa urahisi
zaidi.Wengi tumekuwa tukipata taabu ya kutoa mbegu za tunda hili ambapo
tunachafua tu nyumba kwa kutapakaza mbegu kila mahali.Chukua ujuzi huu na
hutachafua tena nyumba
yako!
No comments:
Post a Comment