Manukato huwa hayakupi harufu
halisi muda unapoyapaka.Huleta harufu halisi kulingana na ngozi yako baada ya
muda. Unaponunua manukato zingatia muda wa kutumia mfano manukato yenye harufu
kali yatumike jioni nayale yenye harufu isiyo kali(citrus) yatumike mchana.
ZINGATIA HAYA UNAPOTAKA KUNUNUA MANUKATO
- Manukato huweza
kuwa utambulisho wa wewe ni mtu wa aina gani ,hivyo, unapochagua manukato,
zingatia ni vipi unataka uonekane.
- Kuwa na
manukato ya aina tofauti kulingana na wapi upo mfano, usipake manukato hayohayo
kazini, ukiwa kwenye miadi nk.
No comments:
Post a Comment