Ila kwa kibongobongo ukiwa na baa kama hii utapata wageni kila
siku na wengi watakuja kwa ajili ya kinywaji.Je,uweke bango linalosomeka hivi,”HAIRUHUSIWI
KWA MGENI KUJICHUKULIA KINYWAJI BILA KUKARIBISHWA”? Hahaha
Nimependa mwonekano wa baa hii hususan kama una sehemu
ndogo.Uamuzi ni wako kuweka baa ya wazi na yenye mpangilio mzuri kama hii au
kuweka vinywaji vyako pasipoeleweka.
No comments:
Post a Comment