Tuzo za watu zilifanyika usiku wa jana tarehe 21 mei 2015 katika hoteli
ya Hyatt Regency. Angalia baadhi ya picha za washindi na za tukio hilo hapa:
Wema Sepetu |
Lady Jaydee |
Millard Ayo
List ya washindi hii hapa
Mtangazaji wa redio anayependwa- D’Jaro Arungu – TBC FM. Kipindi cha redio kinachopendwa- Papaso – TBC FM. Mtangazaji wa runinga anayependwa– Salim Kikeke (BBC Swahili) Kipindi cha runinga kinachopendwa- Mkasi (EATV) Blog/Website inayopendwa- millardayo.com Muongozaji wa video anayependwa- Hanscana Muongozaji wa filamu anayependwa- Vincent ‘Ray’ Kigosi Muigizaji wa kike wa filamu anayependwa- Wema Sepetu Muigizaji wa kiume wa filamu anayependwa- Hemedy PHD Mwanamuziki wa kike anayependwa- Lady Jaydee Mwanamuziki wa kiume anayependwa- Ali Kiba Filamu inayopendwa- Kigodoro Video ya muziki inayopendwa- ‘Nani kama Mama’– Christian Bella Feat. Ommy Dimpoz
Picha ya washindi
PICHA KWA HISANI YA: Millard Ayo
|
No comments:
Post a Comment