Kuna aina tofauti za mapazia.Unaweza kuweka mapazia ya rangi
moja au yenye maua.Hii itategemea na mwonekano wa ndani kwako.Unapoweka mapazia
ya maua ni lazima uwe makini kupangilia rangi vinginevyo nyumba yako itakuwa na
mwonekano wa ajabu kidogo.Kama inakuwia vigumu jaribu kutafuta ushauri ili
upate kitu kizuri.
No comments:
Post a Comment