Nyamko Sabuni
Aliyewahi kuwa waziri wa
jinsia katika serikali iliyopita nchini Sweden, Nyamko Sabuni, amenyang´anywa
leseni baada ya kuendesha gari kwa spidi
ya 158 km/h katika eneo ambalo alitakiwa aendeshe kwa spidi ya 50 km/h.
Leseni hiyo ilifutwa
mara moja baada ya kukamatwa na polisi katikati ya jiji la Stockholm.
Baada ya miezi 3 Nyamko
anaweza kuomba upya leseni.
CHANZO: Aftonbladet
No comments:
Post a Comment