Tetemeko la ardhi limeleta taharuki kwa wakazi wa mikoa ya Mwanza, Kagera na Mara.
Tetemeko hili kilitokea majira ya saa tisa alasiri.
CHANZO: ITV
Chini ni baadhi ya picha zikionyesha baadhi ya Madhara yaliyotokea
Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...
No comments:
Post a Comment