Monday, 21 September 2015

KALI YA SIKU

MWONE KAJALA MASANJA ALIVYOTOKELEZEA !

PICHA NJE YA MAHAKAMA BAADA YA MWIMBAJI WA GOSPEL EMMANUEL MBASHA KUSHINDA KESI YA KUBAKA

Screen Shot 2015-09-21 at 11.58.58 AM
Emmanuel Mbasha akiwa amepiga magoti huku akitokwa machozi nje ya Mahakama ya Ilala, Dar es Salaam baada ya Hukumu kutolewa.

KWA MARA YA KWANZA TIFFAH LIVE!

Staa wa Bongo Fleva,  Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mzazi mwenzake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wakimtoa mtoto wao, Latiffah Nasibu 'Princes Tiffah'.
  • Sherehe yake ya 40 usipime, Zari, Diamond waandika historia
Na waandishi wetu
YAMETIMIA! Baada ya kutoonekana sura kwa zaidi ya siku 40 tangu azaliwe, hatimaye mtoto wa mkali wao ndani ya Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Latifah ‘Tiffah’ ameonekana hadharani (live), Ijumaa Wikienda linakuwa la kwanza kuripoti.

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...