Tuesday 14 May 2013

DUNIANI KUNA MAMBO-Mwili wa mwanamke aliyepotea tangu mwaka 2003 wakutwa katika kabati la mwanae wa kiume

Hii imetokea huko Nigeria ambapo mwanaume mmoja kwa jina Chemezie Osuigwe amekamtwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mama yake aliyekuwa na umri wa miaka 78 mwaka 2003.
Osuigwe mwenye umri wa miaka 64 alikamatwa baada ya jamaa yake mmoja kugundua mabaki ya mwili wa binadamu yakiwa yamehifadhiwa katika kabati nyumbani kwa Osuigwe.
Kwa mujibu wa kamishna wa polisi wa Imo bwana Musa Katsina, Lucy Osuigwe aliripotiwa kupotea mwaka 2003.

CHANZO: Tribune

No comments:

Post a Comment

PALM TREES ARE BEAUTIFUL

Minazi huleta mandhari nzuri ya kuvutia, haijalishi ni sehemu gani imemea. Palm trees are always beautiful, it doesn´t matter where they are...